Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 2:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 nuru+ ya kuondoa utaji+ kwa mataifa+ na utukufu wa watu wako Israeli.”

  • Matendo 11:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Basi waliposikia mambo hayo, wakakubali kimyakimya,+ nao wakamtukuza Mungu,+ wakisema: “Kwa hiyo, basi, Mungu ameruhusu toba kwa kusudi la uzima kwa watu wa mataifa pia.”+

  • Matendo 28:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa hiyo jueni kwamba njia hii ambayo Mungu anaitumia kuokoa, imepelekwa nje kwa mataifa;+ wao hakika wataisikiliza.”+

  • Waroma 15:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 na kwamba mataifa+ yamtukuze Mungu kwa ajili ya rehema+ yake. Kama ilivyoandikwa: “Ndiyo sababu nitakukiri wewe waziwazi kati ya mataifa nami nitalipigia jina lako muziki.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki