Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 11:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na itakuwa katika siku hiyo+ kwamba patakuwa na mzizi wa Yese+ ambao utakuwa unasimama kuwa ishara kwa ajili ya vikundi vya watu.+ Mataifa yatamtafuta yeye ili kuuliza habari zake,+ na mahali pake pa kupumzikia patakuwa patukufu.+

  • Matendo 17:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Ni kweli, Mungu ameachilia mbali nyakati hizo za kutojua,+ lakini sasa anawaambia wanadamu wote kila mahali kwamba wanapaswa kutubu.+

  • Matendo 20:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini nilitoa ushahidi+ kikamili kwa Wayahudi na Wagiriki pia juu ya toba+ kwa Mungu na imani katika Bwana wetu Yesu.

  • Waroma 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana hakuna tofauti kati ya Myahudi na Mgiriki,+ kwa maana kuna Bwana yuleyule juu ya wote, aliye tajiri+ kwa wale wote wanaomwitia.

  • Waroma 15:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 na kwamba mataifa+ yamtukuze Mungu kwa ajili ya rehema+ yake. Kama ilivyoandikwa: “Ndiyo sababu nitakukiri wewe waziwazi kati ya mataifa nami nitalipigia jina lako muziki.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki