Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 14:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Katika vizazi vilivyopita yeye aliwaruhusu mataifa yote waendelee kutembea katika njia zao,+

  • Waroma 3:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Mungu alimweka kuwa toleo la kupatanisha+ kupitia imani katika damu+ yake. Ilikuwa hivyo ili kuonyesha wazi uadilifu wake mwenyewe, kwa sababu alikuwa akizisamehe dhambi+ zilizotokea wakati uliopita wakati Mungu alipokuwa akivumilia kwa subira;+

  • Waroma 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana kabla ya Sheria kuwako dhambi ilikuwa katika ulimwengu, lakini mtu yeyote hahesabiwi dhambi wakati hakuna sheria.+

  • Waefeso 4:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 huku wakiwa katika giza kiakili,+ na kutenganishwa mbali+ na uzima ambao ni wa Mungu, kwa sababu ya kule kutojua+ ambako kumo ndani yao, kwa sababu ya ugumu+ wa mioyo yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki