-
Waroma 3:25Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
25 Mungu alimtokeza kuwa toleo la kufunika kupitia imani katika damu yake. Hiyo ilikuwa kusudi aonyeshe wazi uadilifu wake mwenyewe, kwa sababu alikuwa akizisamehe dhambi zilizotokea wakati uliopita Mungu alipokuwa akitumia uvumilivu wenye subira;
-