19 yaani, kwamba Mungu kupitia Kristo alikuwa akiupatanisha ulimwengu kwake mwenyewe,+ bila kuwahesabia makosa yao,+ naye alitukabidhi ujumbe wa upatanisho.+
2Watoto wangu wadogo, ninawaandikia mambo haya ili msitende dhambi. Na bado, yeyote akitenda dhambi, tuna msaidizi* kwa Baba, Yesu Kristo,+ mtu mwadilifu.+2 Naye ni dhabihu ya upatanisho*+ kwa ajili ya dhambi zetu,+ lakini si kwa ajili ya dhambi zetu tu bali pia dhambi za ulimwengu wote.+
10 Hivi ndivyo upendo ulivyo, si kwamba sisi tumempenda Mungu, bali kwamba yeye alitupenda akamtuma Mwana wake kuwa dhabihu ya upatanisho*+ kwa ajili ya dhambi zetu.+