Waroma 8:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Ni nani atakayewahukumu? Kristo Yesu ndiye aliyekufa, ndiyo, isitoshe yeye ndiye aliyefufuliwa, aliye kwenye mkono wa kuume wa Mungu+ na ambaye pia hutuombea.+ Waebrania 7:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Basi anaweza pia kuwaokoa kikamili wale wanaomkaribia Mungu kupitia yeye, kwa sababu sikuzote yuko hai ili kuwaombea.+
34 Ni nani atakayewahukumu? Kristo Yesu ndiye aliyekufa, ndiyo, isitoshe yeye ndiye aliyefufuliwa, aliye kwenye mkono wa kuume wa Mungu+ na ambaye pia hutuombea.+
25 Basi anaweza pia kuwaokoa kikamili wale wanaomkaribia Mungu kupitia yeye, kwa sababu sikuzote yuko hai ili kuwaombea.+