Mathayo 20:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake* uwe fidia badala ya wengi.”+ Yohana 1:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Siku iliyofuata alimwona Yesu akimjia, naye akasema: “Ona, Mwanakondoo+ wa Mungu ambaye huondoa dhambi+ ya ulimwengu!+
28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake* uwe fidia badala ya wengi.”+
29 Siku iliyofuata alimwona Yesu akimjia, naye akasema: “Ona, Mwanakondoo+ wa Mungu ambaye huondoa dhambi+ ya ulimwengu!+