Luka 22:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa maana ni nani aliye mkuu zaidi, yule anayekula* au yule anayehudumu?* Ni yule anayekula,* sivyo? Lakini mimi ni kama mtu anayehudumu* kati yenu.+ Yohana 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo, ingawa mimi ni Bwana na Mwalimu, niliiosha miguu yenu,+ basi ninyi pia mnapaswa* kuoshana miguu.+ Wafilipi 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hapana, bali alijiondolea hali yake na kuchukua umbo la mtumwa+ na kuwa mwanadamu.*+
27 Kwa maana ni nani aliye mkuu zaidi, yule anayekula* au yule anayehudumu?* Ni yule anayekula,* sivyo? Lakini mimi ni kama mtu anayehudumu* kati yenu.+
14 Kwa hiyo, ingawa mimi ni Bwana na Mwalimu, niliiosha miguu yenu,+ basi ninyi pia mnapaswa* kuoshana miguu.+