Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 20:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake* uwe fidia badala ya wengi.”+

  • Yohana 13:3-5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi, Yesu akijua kwamba Baba alikuwa ameviweka vitu vyote mikononi mwake na kwamba alikuja kutoka kwa Mungu na alikuwa akienda kwa Mungu,+ 4 akasimama kutoka kwenye mlo wa jioni na kuyaweka kando mavazi yake ya nje. Naye akachukua taulo, akajifunga kiunoni.+ 5 Akatia maji kwenye beseni, akaanza kuiosha miguu ya wanafunzi na kuikausha kwa taulo aliyokuwa amejifunga kiunoni.

  • Wafilipi 2:5-7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Iweni na mtazamo huu wa akili ambao pia Kristo Yesu alikuwa nao,+ 6 ambaye, ingawa alikuwa katika umbo la Mungu,+ hakufikiria kufanya unyakuzi, yaani, kwamba yeye awe sawa na Mungu.+ 7 Hapana, bali alijiondolea hali yake na kuchukua umbo la mtumwa+ na kuwa mwanadamu.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki