5 Iweni na mtazamo huu wa akili ambao pia Kristo Yesu alikuwa nao,+ 6 ambaye, ingawa alikuwa katika umbo la Mungu,+ hakufikiria kufanya unyakuzi, yaani, kwamba yeye awe sawa na Mungu.+ 7 Hapana, bali alijiondolea hali yake na kuchukua umbo la mtumwa+ na kuwa mwanadamu.+