Mathayo 11:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Chukueni nira yangu na mjifunze kutoka kwangu, kwa maana mimi ni mpole na mnyenyekevu moyoni,+ nanyi mtapata burudisho kwa ajili yenu.* Yohana 13:14, 15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo, ingawa mimi ni Bwana na Mwalimu, niliiosha miguu yenu,+ basi ninyi pia mnapaswa* kuoshana miguu.+ 15 Kwa maana nimewawekea kielelezo, ili mfanye kama nilivyowafanyia.+
29 Chukueni nira yangu na mjifunze kutoka kwangu, kwa maana mimi ni mpole na mnyenyekevu moyoni,+ nanyi mtapata burudisho kwa ajili yenu.*
14 Kwa hiyo, ingawa mimi ni Bwana na Mwalimu, niliiosha miguu yenu,+ basi ninyi pia mnapaswa* kuoshana miguu.+ 15 Kwa maana nimewawekea kielelezo, ili mfanye kama nilivyowafanyia.+