Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 17:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana uhai wa kiumbe umo* katika damu,+ nami nimeitoa kwenye madhabahu+ ili mwitumie kufunika dhambi zenu, kwa maana damu ndiyo inayofunika dhambi+ kupitia uhai ulio ndani yake.

  • Matendo 13:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 na kwamba mambo yote ambayo hamngetangazwa kuwa bila hatia kulingana na Sheria ya Musa,+ kila mtu anayeamini anatangazwa kuwa bila hatia kupitia mtu huyu.+

  • Waefeso 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kupitia kwake tunaachiliwa huru kwa njia ya fidia kupitia damu ya huyo,+ ndiyo, msamaha wa makosa yetu,+ kulingana na utajiri wa fadhili zake zisizostahiliwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki