Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa sababu ya mateso* yake, ataona na kuridhika.

      Kupitia ujuzi wake, yule mwadilifu, mtumishi wangu,+

      Atawaletea watu wengi msimamo wa uadilifu,+

      Na dhambi zao atazibeba.+

  • Waroma 3:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa maana tunajua kwamba mtu hutangazwa kuwa mwadilifu kwa imani bila matendo ya sheria.+

  • Waroma 5:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa hiyo basi, kama vile kupitia kosa moja matokeo kwa watu wa namna zote yalikuwa kuhukumiwa hatia,+ vivyo hivyo kupitia tendo moja la kutetewa matokeo kwa watu wa namna zote+ ni wao kutangazwa kuwa waadilifu kwa ajili ya uzima.+

  • Waroma 8:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kile ambacho Sheria ilishindwa kufanya+ kwa sababu ilikuwa dhaifu+ kupitia mwili, Mungu alifanya kwa kumtuma Mwana wake mwenyewe+ akiwa katika mfano wa mwili wenye dhambi+ na kuhusu dhambi, akiihukumu dhambi katika mwili,

  • Waebrania 7:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa maana Sheria haikufanya kitu chochote kiwe kikamilifu,+ lakini kuletwa kwa tumaini bora+ kulifanya hivyo, na kupitia tumaini hilo tunamkaribia Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki