Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 13:38, 39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 “Kwa hiyo, acheni ijulikane kwenu, akina ndugu, kwamba kupitia mtu huyo mnatangaziwa msamaha wa dhambi,+ 39 na kwamba mambo yote ambayo hamngetangazwa kuwa bila hatia kulingana na Sheria ya Musa,+ kila mtu anayeamini anatangazwa kuwa bila hatia kupitia mtu huyu.+

  • Wagalatia 2:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Sisi tulio Wayahudi kwa kuzaliwa, na si watenda dhambi kutoka kwa mataifa, 16 tunatambua kwamba mtu hutangazwa kuwa mwadilifu, si kupitia matendo ya sheria, bali kupitia tu imani+ katika Yesu Kristo.+ Basi sisi tumeweka imani yetu katika Kristo Yesu, ili tutangazwe kuwa waadilifu kupitia imani katika Kristo bali si kupitia matendo ya sheria, kwa maana hakuna mtu yeyote atakayetangazwa* kuwa mwadilifu kupitia matendo ya sheria.+

  • Waebrania 10:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa kuwa Sheria ina kivuli+ cha mambo mema yatakayokuja,+ lakini si uhalisi wa mambo hayo, haiwezi* kamwe kwa dhabihu zilezile zinazotolewa mwaka baada ya mwaka, kuwafanya wale wanaokaribia wawe wakamilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki