-
Waroma 3:20-22Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
20 Kwa hiyo, hakuna mtu yeyote atakayetangazwa* kuwa mwadilifu mbele zake kupitia matendo ya sheria,+ kwa maana kupitia sheria tunapata ujuzi sahihi kuhusu dhambi.+
21 Lakini sasa uadilifu wa Mungu umefunuliwa bila sheria,+ kama inavyoshuhudiwa na Sheria na Manabii,+ 22 ndiyo, uadilifu wa Mungu kupitia imani katika Yesu Kristo, kwa wote walio na imani. Kwa maana hakuna tofauti.+
-