Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 kwa maana hii inamaanisha ‘damu yangu+ ya agano,’+ ambayo itamwagwa kwa ajili ya wengi+ ili wasamehewe dhambi.+

  • Waroma 3:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Mungu alimtoa kuwa dhabihu ya upatanisho*+ kupitia imani katika damu yake.+ Ilikuwa hivyo ili kuonyesha uadilifu wake mwenyewe, kwa sababu Mungu kwa uvumilivu* wake alikuwa akizisamehe dhambi zilizofanywa wakati uliopita.

  • Waroma 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa kuwa sasa tumetangazwa kuwa waadilifu kwa damu yake,+ tutaokolewa hata zaidi kutokana na ghadhabu kupitia yeye.+

  • Waefeso 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kupitia kwake tunaachiliwa huru kwa njia ya fidia kupitia damu ya huyo,+ ndiyo, msamaha wa makosa yetu,+ kulingana na utajiri wa fadhili zake zisizostahiliwa.

  • Waebrania 9:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Ndiyo, kulingana na Sheria karibu vitu vyote husafishwa kwa damu,+ na hakuna msamaha unaopatikana bila kumwaga damu.+

  • Waebrania 13:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa hiyo, Yesu pia aliteseka nje ya lango la jiji+ ili awatakase watu kwa damu yake mwenyewe.+

  • 1 Petro 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 kulingana na ujuzi wa awali wa Mungu aliye Baba,+ kwa kutakaswa kwa roho,+ kusudi wawe watiifu na kunyunyiziwa damu ya Yesu Kristo:+

      Na mwongezewe fadhili zisizostahiliwa na amani.

  • 1 Yohana 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hata hivyo, ikiwa tunatembea katika nuru kama yeye mwenyewe alivyo katika nuru, tuna ushirika sisi kwa sisi, na damu ya Yesu Mwana wake hutusafisha kutoka katika dhambi yote.+

  • Ufunuo 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 na kutoka kwa Yesu Kristo, “Shahidi Mwaminifu,”+ “mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu,”+ na “Mtawala wa wafalme wa dunia.”+

      Yeye anayetupenda+ na aliyetuweka huru kutoka katika dhambi zetu kupitia damu yake mwenyewe+—

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki