Kutoka 24:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi Musa akachukua damu akawanyunyizia watu+ na kusema: “Hii ndiyo damu ya agano ambalo Yehova amefanya pamoja nanyi kulingana na maneno hayo yote.”+ Yeremia 31:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nitakapofanya agano jipya pamoja na nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda.+ Waebrania 7:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 kwa hiyo Yesu amekuwa uhakikisho* wa agano bora.+
8 Basi Musa akachukua damu akawanyunyizia watu+ na kusema: “Hii ndiyo damu ya agano ambalo Yehova amefanya pamoja nanyi kulingana na maneno hayo yote.”+
31 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nitakapofanya agano jipya pamoja na nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda.+