27 Kisha akachukua kikombe, akashukuru na kuwapa akisema: “Kunyweni ninyi nyote,+28 kwa maana hii inamaanisha ‘damu yangu+ ya agano,’+ ambayo itamwagwa kwa ajili ya wengi+ ili wasamehewe dhambi.+
25 Akafanya vivyo hivyo na kile kikombe+ pia, baada ya wao kula mlo wa jioni, akisema: “Kikombe hiki kinamaanisha agano+ jipya kwa msingi wa damu yangu.+ Endeleeni kufanya hivi, kila mara mnapokinywa, kwa kunikumbuka mimi.”+
6 Lakini sasa Yesu amepata huduma iliyo bora* zaidi kwa sababu yeye pia ni mpatanishi+ wa agano lililo bora+ kwa kulinganishwa, ambalo limefanywa imara kisheria juu ya ahadi zilizo bora.+
15 Hiyo ndiyo sababu yeye ni mpatanishi wa agano jipya,+ ili kwa sababu kifo kimetokea kusudi waachiliwe huru kupitia fidia+ kutoka kwenye makosa chini ya agano la zamani, wale ambao wameitwa waipokee ahadi ya urithi unaodumu milele.+