Mathayo 20:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake* uwe fidia badala ya wengi.”+ Marko 14:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Akawaambia: “Hii inamaanisha ‘damu+ yangu ya agano,’+ ambayo itamwagwa kwa ajili ya wengi.+
28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake* uwe fidia badala ya wengi.”+