Isaya 53:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa sababu hiyo nitampa fungu kati ya wengi,Naye atagawa nyara pamoja na wenye nguvu,Kwa sababu aliumwaga uhai wake* mpaka kifo+Naye alihesabiwa miongoni mwa wakosaji;+Aliibeba dhambi ya watu wengi,+Naye aliwatetea wakosaji.+ Mathayo 26:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 kwa maana hii inamaanisha ‘damu yangu+ ya agano,’+ ambayo itamwagwa kwa ajili ya wengi+ ili wasamehewe dhambi.+ Luka 22:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Pia, akafanya vivyo hivyo na kile kikombe baada ya wao kula mlo wa jioni, akisema: “Kikombe hiki kinamaanisha agano jipya+ kwa msingi wa damu yangu,+ ambayo itamwagwa kwa ajili yenu.+
12 Kwa sababu hiyo nitampa fungu kati ya wengi,Naye atagawa nyara pamoja na wenye nguvu,Kwa sababu aliumwaga uhai wake* mpaka kifo+Naye alihesabiwa miongoni mwa wakosaji;+Aliibeba dhambi ya watu wengi,+Naye aliwatetea wakosaji.+
28 kwa maana hii inamaanisha ‘damu yangu+ ya agano,’+ ambayo itamwagwa kwa ajili ya wengi+ ili wasamehewe dhambi.+
20 Pia, akafanya vivyo hivyo na kile kikombe baada ya wao kula mlo wa jioni, akisema: “Kikombe hiki kinamaanisha agano jipya+ kwa msingi wa damu yangu,+ ambayo itamwagwa kwa ajili yenu.+