32 Wanaume wengine wawili, wahalifu, walikuwa pia wakipelekwa wakauawe pamoja naye.+ 33 Walipofika mahali panapoitwa Fuvu la Kichwa,+ wakamtundika Yesu kwenye mti pamoja na wale wahalifu, mmoja upande wake wa kuume na mwingine upande wake wa kushoto.+