Yohana 19:17, 18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yesu akabeba mti wake wa mateso,* akaenda mahali panapoitwa Fuvu la Kichwa,+ au Golgotha katika Kiebrania.+ 18 Hapo wakamtundika mtini,+ na watu wawili kando yake, mmoja kulia na mwingine kushoto, naye Yesu katikati yao.+
17 Yesu akabeba mti wake wa mateso,* akaenda mahali panapoitwa Fuvu la Kichwa,+ au Golgotha katika Kiebrania.+ 18 Hapo wakamtundika mtini,+ na watu wawili kando yake, mmoja kulia na mwingine kushoto, naye Yesu katikati yao.+