Yohana 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kama vile Musa alivyoinua nyoka nyikani,+ ndivyo Mwana wa binadamu atakavyoinuliwa,+ Matendo 5:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Mungu wa mababu zetu alimfufua Yesu, ambaye ninyi mlimuua, kwa kumtundika kwenye mti.+ Wagalatia 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kristo alitununua,+ akatuweka huru+ kutoka katika laana ya Sheria akawa laana badala yetu, kwa sababu imeandikwa: “Amelaaniwa kila mtu aliyetundikwa kwenye mti.”+
13 Kristo alitununua,+ akatuweka huru+ kutoka katika laana ya Sheria akawa laana badala yetu, kwa sababu imeandikwa: “Amelaaniwa kila mtu aliyetundikwa kwenye mti.”+