23 Mwanamume huyu, aliyekabidhiwa kupitia mapenzi yaliyoamuliwa na ujuzi wa awali wa Mungu,+ mlimfunga kwenye mti kupitia mkono wa waasi sheria, nanyi mkamuua.+ 24 Lakini Mungu alimfufua+ kwa kumfungua kutoka katika maumivu makali ya kifo, kwa sababu haingewezekana kifo kiendelee kumshika.+