17 Kwa sababu hiyo, Baba ananipenda,+ kwa kuwa ninautoa uhai wangu+ ili niupate tena. 18 Hakuna mtu anayeuchukua kutoka kwangu, bali ninautoa kwa hiari yangu. Nina mamlaka ya kuutoa, nami nina mamlaka ya kuupokea tena.+ Nilipokea amri hii kutoka kwa Baba yangu.”