Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 19:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi Pilato akamuuliza: “Unakataa kuzungumza nami? Je, hujui kwamba nina mamlaka ya kukufungua na mamlaka ya kukuua?”* 11 Yesu akamjibu: “Wewe hungekuwa na mamlaka yoyote juu yangu kama hungepewa kutoka juu. Ndiyo maana mtu aliyenitia mikononi mwako ana dhambi kubwa zaidi.”

  • Matendo 4:27, 28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa kweli Herode na Pontio Pilato+ pamoja na watu wa mataifa na watu wa Israeli walikusanyika katika jiji hili dhidi ya mtumishi wako mtakatifu Yesu, ambaye ulimtia mafuta,+ 28 ili wafanye yale ambayo mkono na shauri lako liliazimia awali yatukie.+

  • 1 Petro 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Ni kweli, yeye alijulikana mapema kabla ya kuwekwa msingi wa ulimwengu,+ lakini alifunuliwa mwishoni mwa nyakati kwa ajili yenu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki