Matendo 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 lakini mkamuua Wakili Mkuu wa uzima.+ Hata hivyo, Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, nasi ni mashahidi wa jambo hilo.+ Waroma 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 bali pia kwa ajili yetu ambao itahesabiwa, kwa sababu tunamwamini Yeye aliyemfufua Yesu Bwana wetu kutoka kwa wafu.+ 1 Wakorintho 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini Mungu alimfufua Bwana+ na pia atatufufua sisi kutoka kwenye kifo+ kupitia nguvu zake.+ Wakolosai 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana mlizikwa pamoja naye katika ubatizo wake,+ na kwa uhusiano wenu pamoja naye mlifufuliwa+ pia pamoja kupitia imani yenu katika matendo yenye nguvu ya Mungu, aliyemfufua Kristo kutoka kwa wafu.+ Waebrania 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi Mungu wa amani, aliyemrudisha kutoka kwa wafu mchungaji mkuu+ wa kondoo, Bwana wetu Yesu, kwa damu ya agano linalodumu milele,
15 lakini mkamuua Wakili Mkuu wa uzima.+ Hata hivyo, Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, nasi ni mashahidi wa jambo hilo.+
24 bali pia kwa ajili yetu ambao itahesabiwa, kwa sababu tunamwamini Yeye aliyemfufua Yesu Bwana wetu kutoka kwa wafu.+
12 Kwa maana mlizikwa pamoja naye katika ubatizo wake,+ na kwa uhusiano wenu pamoja naye mlifufuliwa+ pia pamoja kupitia imani yenu katika matendo yenye nguvu ya Mungu, aliyemfufua Kristo kutoka kwa wafu.+
20 Basi Mungu wa amani, aliyemrudisha kutoka kwa wafu mchungaji mkuu+ wa kondoo, Bwana wetu Yesu, kwa damu ya agano linalodumu milele,