Matendo 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Lakini Mungu alimfufua+ kwa kumfungua kutoka katika maumivu makali ya* kifo, kwa sababu haingewezekana kifo kiendelee kumshika.+ Matendo 13:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Lakini Mungu akamfufua kutoka kwa wafu,+ 1 Petro 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kupitia yeye mnamwamini Mungu,+ yule aliyemfufua kutoka kwa wafu+ na kumpa utukufu,+ ili imani na tumaini lenu liwe katika Mungu.
24 Lakini Mungu alimfufua+ kwa kumfungua kutoka katika maumivu makali ya* kifo, kwa sababu haingewezekana kifo kiendelee kumshika.+
21 Kupitia yeye mnamwamini Mungu,+ yule aliyemfufua kutoka kwa wafu+ na kumpa utukufu,+ ili imani na tumaini lenu liwe katika Mungu.