Mathayo 28:5, 6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini malaika akawaambia wale wanawake: “Msiogope, kwa maana ninajua mnamtafuta Yesu aliyeuawa kwenye mti.+ 6 Hayupo hapa, kwa maana amefufuliwa kama alivyosema.+ Njooni, tazameni mahali alipokuwa amelala. Matendo 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Lakini Mungu alimfufua+ kwa kumfungua kutoka katika maumivu makali ya* kifo, kwa sababu haingewezekana kifo kiendelee kumshika.+
5 Lakini malaika akawaambia wale wanawake: “Msiogope, kwa maana ninajua mnamtafuta Yesu aliyeuawa kwenye mti.+ 6 Hayupo hapa, kwa maana amefufuliwa kama alivyosema.+ Njooni, tazameni mahali alipokuwa amelala.
24 Lakini Mungu alimfufua+ kwa kumfungua kutoka katika maumivu makali ya* kifo, kwa sababu haingewezekana kifo kiendelee kumshika.+