28 Kisha Yesu akasema: “Baada ya kumwinua Mwana wa binadamu,+ ndipo mtakapojua kwamba mimi ndiye+ na kwamba sifanyi jambo lolote kwa uamuzi wangu mwenyewe;+ bali mambo ambayo Baba amenifundisha, ndiyo ninayosema.
13 Kristo alitununua,+ akatuweka huru+ kutoka katika laana ya Sheria akawa laana badala yetu, kwa sababu imeandikwa: “Amelaaniwa kila mtu aliyetundikwa kwenye mti.”+