Isaya 53:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa sababu hiyo nitampa fungu kati ya wengi,Naye atagawa nyara pamoja na wenye nguvu,Kwa sababu aliumwaga uhai wake* mpaka kifo+Naye alihesabiwa miongoni mwa wakosaji;+Aliibeba dhambi ya watu wengi,+Naye aliwatetea wakosaji.+ Mathayo 27:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Ndipo wezi wawili wakatundikwa kwenye mti kando yake, mmoja upande wake wa kuume na mwingine upande wake wa kushoto.+
12 Kwa sababu hiyo nitampa fungu kati ya wengi,Naye atagawa nyara pamoja na wenye nguvu,Kwa sababu aliumwaga uhai wake* mpaka kifo+Naye alihesabiwa miongoni mwa wakosaji;+Aliibeba dhambi ya watu wengi,+Naye aliwatetea wakosaji.+
38 Ndipo wezi wawili wakatundikwa kwenye mti kando yake, mmoja upande wake wa kuume na mwingine upande wake wa kushoto.+