Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa sababu hiyo nitampa fungu kati ya wengi,

      Naye atagawa nyara pamoja na wenye nguvu,

      Kwa sababu aliumwaga uhai wake* mpaka kifo+

      Naye alihesabiwa miongoni mwa wakosaji;+

      Aliibeba dhambi ya watu wengi,+

      Naye aliwatetea wakosaji.+

  • Marko 15:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Pia, wakawatundika wezi wawili kwenye mti kando yake, mmoja upande wake wa kuume na mwingine upande wake wa kushoto.+

  • Luka 23:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Walipofika mahali panapoitwa Fuvu la Kichwa,+ wakamtundika Yesu kwenye mti pamoja na wale wahalifu, mmoja upande wake wa kuume na mwingine upande wake wa kushoto.+

  • Yohana 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hapo wakamtundika mtini,+ na watu wawili kando yake, mmoja kulia na mwingine kushoto, naye Yesu katikati yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki