Isaya 53:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa sababu hiyo nitampa fungu kati ya wengi,Naye atagawa nyara pamoja na wenye nguvu,Kwa sababu aliumwaga uhai wake* mpaka kifo+Naye alihesabiwa miongoni mwa wakosaji;+Aliibeba dhambi ya watu wengi,+Naye aliwatetea wakosaji.+ Marko 15:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Pia, wakawatundika wezi wawili kwenye mti kando yake, mmoja upande wake wa kuume na mwingine upande wake wa kushoto.+ Luka 23:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Walipofika mahali panapoitwa Fuvu la Kichwa,+ wakamtundika Yesu kwenye mti pamoja na wale wahalifu, mmoja upande wake wa kuume na mwingine upande wake wa kushoto.+ Yohana 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hapo wakamtundika mtini,+ na watu wawili kando yake, mmoja kulia na mwingine kushoto, naye Yesu katikati yao.+
12 Kwa sababu hiyo nitampa fungu kati ya wengi,Naye atagawa nyara pamoja na wenye nguvu,Kwa sababu aliumwaga uhai wake* mpaka kifo+Naye alihesabiwa miongoni mwa wakosaji;+Aliibeba dhambi ya watu wengi,+Naye aliwatetea wakosaji.+
27 Pia, wakawatundika wezi wawili kwenye mti kando yake, mmoja upande wake wa kuume na mwingine upande wake wa kushoto.+
33 Walipofika mahali panapoitwa Fuvu la Kichwa,+ wakamtundika Yesu kwenye mti pamoja na wale wahalifu, mmoja upande wake wa kuume na mwingine upande wake wa kushoto.+
18 Hapo wakamtundika mtini,+ na watu wawili kando yake, mmoja kulia na mwingine kushoto, naye Yesu katikati yao.+