8 Basi Musa akachukua damu akawanyunyizia watu+ na kusema: “Hii ndiyo damu ya agano ambalo Yehova amefanya pamoja nanyi kulingana na maneno hayo yote.”+
11 Kwa maana uhai wa kiumbe umo* katika damu,+ nami nimeitoa kwenye madhabahu+ ili mwitumie kufunika dhambi zenu, kwa maana damu ndiyo inayofunika dhambi+ kupitia uhai ulio ndani yake.