-
Waebrania 9:18-20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Kwa hiyo, lile agano la zamani halikuanza kutumika* bila damu. 19 Kwa maana Musa alipowatajia watu wote kila amri ya Sheria, alichukua damu ya wale ng’ombe dume wachanga na ya wale mbuzi, pamoja na maji, sufu nyekundu, na hisopo, na kukinyunyizia kile kitabu* na watu wote, 20 akisema: “Hii ndiyo damu ya agano ambalo Mungu amewaamuru mlishike.”+
-