Marko 14:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kisha akachukua kikombe, akashukuru na kuwapa, wote wakanywa kutoka kwenye kikombe hicho.+ Luka 22:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Pia, akafanya vivyo hivyo na kile kikombe baada ya wao kula mlo wa jioni, akisema: “Kikombe hiki kinamaanisha agano jipya+ kwa msingi wa damu yangu,+ ambayo itamwagwa kwa ajili yenu.+
20 Pia, akafanya vivyo hivyo na kile kikombe baada ya wao kula mlo wa jioni, akisema: “Kikombe hiki kinamaanisha agano jipya+ kwa msingi wa damu yangu,+ ambayo itamwagwa kwa ajili yenu.+