Mathayo 26:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kisha akachukua kikombe, akashukuru na kuwapa akisema: “Kunyweni ninyi nyote,+ 1 Wakorintho 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kikombe cha baraka ambacho tunabariki, je, si kushiriki katika damu ya Kristo?+ Mkate ambao tunamega, je, si kushiriki katika mwili wa Kristo?+ 1 Wakorintho 11:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Akafanya vivyo hivyo na kile kikombe+ pia, baada ya wao kula mlo wa jioni, akisema: “Kikombe hiki kinamaanisha agano+ jipya kwa msingi wa damu yangu.+ Endeleeni kufanya hivi, kila mara mnapokinywa, kwa kunikumbuka mimi.”+
16 Kikombe cha baraka ambacho tunabariki, je, si kushiriki katika damu ya Kristo?+ Mkate ambao tunamega, je, si kushiriki katika mwili wa Kristo?+
25 Akafanya vivyo hivyo na kile kikombe+ pia, baada ya wao kula mlo wa jioni, akisema: “Kikombe hiki kinamaanisha agano+ jipya kwa msingi wa damu yangu.+ Endeleeni kufanya hivi, kila mara mnapokinywa, kwa kunikumbuka mimi.”+