Zaburi 110:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova ameapa naye hatabadili nia yake:* “Wewe ni kuhani milele+Kwa mfano wa Melkizedeki!”+ Waroma 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi, ikiwa sisi ni watoto, sisi pia ni warithi—warithi wa Mungu kwelikweli, lakini warithi pamoja+ na Kristo—mradi tu tunateseka pamoja+ ili pia tutukuzwe pamoja.+
17 Basi, ikiwa sisi ni watoto, sisi pia ni warithi—warithi wa Mungu kwelikweli, lakini warithi pamoja+ na Kristo—mradi tu tunateseka pamoja+ ili pia tutukuzwe pamoja.+