21 (kwa kweli, kuna watu ambao wamekuwa makuhani bila kiapo rasmi, lakini huyu amekuwa kuhani kupitia kiapo kilichotolewa kumhusu na Yule aliyesema hivi: “Yehova* ameapa naye hatabadili nia yake,* ‘Wewe ni kuhani milele’”),+
28 Kwa maana Sheria huweka rasmi watu walio na udhaifu wawe makuhani wakuu,+ lakini neno la kiapo+ rasmi baada ya Sheria humweka rasmi Mwana, ambaye amefanywa kuwa mkamilifu+ milele.