Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 14:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na Melkizedeki+ mfalme wa Salemu+ akaleta mkate na divai; alikuwa kuhani wa Mungu Aliye Juu Zaidi.+

  • Waebrania 5:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Vivyo hivyo, pia Kristo hakujitukuza mwenyewe+ kwa kuwa kuhani mkuu, bali alitukuzwa na Yule aliyemwambia hivi: “Wewe ni mwanangu; leo nimekuwa baba yako.”+ 6 Kama vile pia anavyosema mahali pengine, “Wewe ni kuhani milele kwa mfano wa Melkizedeki.”+

  • Waebrania 6:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Tuna tumaini hilo+ kama nanga ya nafsi,* likiwa hakika na imara, nalo huingia ndani ya pazia,+ 20 ambamo mtangulizi ameingia kwa ajili yetu, Yesu,+ ambaye amekuwa kuhani mkuu milele kama Melkizedeki.+

  • Waebrania 7:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Hana baba wala mama, hana ukoo, na hana mwanzo wa siku wala mwisho wa uzima, bali akiwa amefanywa kama Mwana wa Mungu, anadumu akiwa kuhani daima.*+

  • Waebrania 7:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi, ikiwa ukamilifu ungeweza kupatikana kupitia ukuhani wa Walawi+ (kwa maana ulikuwa sehemu ya Sheria ambayo watu walipewa), kungekuwa na umuhimu gani wa kuhani mwingine kusimama anayesemwa kuwa kwa mfano wa Melkizedeki+ na si kwa mfano wa Haruni?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki