-
Waebrania 7:1, 2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Kwa maana huyu Melkizedeki, mfalme wa Salemu, kuhani wa Mungu Aliye Juu Zaidi, alikutana na Abrahamu akirudi baada ya kuwaangamiza wafalme kisha akambariki,+ 2 naye Abrahamu akampa* sehemu ya kumi ya vitu vyote. Kwanza, jina lake linatafsiriwa “Mfalme wa Uadilifu,” kisha pia mfalme wa Salemu, yaani, “Mfalme wa Amani.”
-