Zaburi 110:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova ameapa naye hatabadili nia yake:* “Wewe ni kuhani milele+Kwa mfano wa Melkizedeki!”+ Waebrania 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 ambamo mtangulizi ameingia kwa ajili yetu, Yesu,+ ambaye amekuwa kuhani mkuu milele kama Melkizedeki.+
20 ambamo mtangulizi ameingia kwa ajili yetu, Yesu,+ ambaye amekuwa kuhani mkuu milele kama Melkizedeki.+