Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa hiyo, hakuna mtu yeyote atakayetangazwa* kuwa mwadilifu mbele zake kupitia matendo ya sheria,+ kwa maana kupitia sheria tunapata ujuzi sahihi kuhusu dhambi.+

  • Waebrania 7:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa maana Sheria haikufanya kitu chochote kiwe kikamilifu,+ lakini kuletwa kwa tumaini bora+ kulifanya hivyo, na kupitia tumaini hilo tunamkaribia Mungu.+

  • Waebrania 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hema hili ni mfano kwa ajili ya wakati huu,+ na kulingana na mpango huu, zawadi na dhabihu zinatolewa.+ Hata hivyo, haziwezi kufanya dhamiri ya mtu anayefanya utumishi mtakatifu iwe kamilifu.+

  • Waebrania 10:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa kuwa Sheria ina kivuli+ cha mambo mema yatakayokuja,+ lakini si uhalisi wa mambo hayo, haiwezi* kamwe kwa dhabihu zilezile zinazotolewa mwaka baada ya mwaka, kuwafanya wale wanaokaribia wawe wakamilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki