Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Wagalatia 3:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa hiyo, je, Sheria inapinga ahadi za Mungu? La hasha! Kwa maana ikiwa kungekuwa na sheria inayoweza kuleta uhai, kwa kweli uadilifu ungekuwa kupitia sheria.

  • Waebrania 7:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi, ikiwa ukamilifu ungeweza kupatikana kupitia ukuhani wa Walawi+ (kwa maana ulikuwa sehemu ya Sheria ambayo watu walipewa), kungekuwa na umuhimu gani wa kuhani mwingine kusimama anayesemwa kuwa kwa mfano wa Melkizedeki+ na si kwa mfano wa Haruni?

  • Waebrania 7:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa maana Sheria haikufanya kitu chochote kiwe kikamilifu,+ lakini kuletwa kwa tumaini bora+ kulifanya hivyo, na kupitia tumaini hilo tunamkaribia Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki