-
Wagalatia 3:21Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
21 Kwa hiyo, je, Sheria ni dhidi ya ahadi za Mungu? Hilo lisitukie kamwe! Kwa maana ikiwa sheria ingalitolewa iwezayo kutoa uhai, kwa kweli uadilifu ungalikuwa umekuwa kwa njia ya sheria.
-