Waroma 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 kama ilivyoandikwa: “Hakuna mwanadamu mwadilifu, hakuna hata mmoja;+ Wagalatia 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mimi sizitupi fadhili zisizostahiliwa za Mungu;+ kwa maana ikiwa uadilifu ni kupitia sheria,+ Kristo kwa kweli alikufa bure tu.+
21 Mimi sizitupi fadhili zisizostahiliwa za Mungu;+ kwa maana ikiwa uadilifu ni kupitia sheria,+ Kristo kwa kweli alikufa bure tu.+