Yohana 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa sababu Sheria ilitolewa kupitia Musa,+ fadhili zisizostahiliwa+ na kweli+ zilikuja kupitia Yesu Kristo. Waroma 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa upande mwingine, kwa mtu asiyefanya kazi bali anayeweka imani+ katika yeye anayemtangaza kuwa mwadilifu yule asiyemwogopa Mungu, imani yake inahesabiwa kuwa ni uadilifu.+
17 Kwa sababu Sheria ilitolewa kupitia Musa,+ fadhili zisizostahiliwa+ na kweli+ zilikuja kupitia Yesu Kristo.
5 Kwa upande mwingine, kwa mtu asiyefanya kazi bali anayeweka imani+ katika yeye anayemtangaza kuwa mwadilifu yule asiyemwogopa Mungu, imani yake inahesabiwa kuwa ni uadilifu.+