Kutoka 31:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Sasa mara tu alipomaliza kusema naye kwenye Mlima Sinai alimpa Musa mabamba mawili ya ule Ushuhuda,+ mabamba ya mawe ambayo juu yake yaliandikwa kwa kidole cha Mungu.+ Kumbukumbu la Torati 4:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Sasa hii ndiyo sheria+ ambayo Musa aliweka mbele ya wana wa Israeli. Yohana 7:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Musa aliwapa ninyi Sheria,+ sivyo? Lakini hakuna hata mmoja kati yenu anayetii Sheria. Kwa nini mnatafuta kuniua?”+
18 Sasa mara tu alipomaliza kusema naye kwenye Mlima Sinai alimpa Musa mabamba mawili ya ule Ushuhuda,+ mabamba ya mawe ambayo juu yake yaliandikwa kwa kidole cha Mungu.+
19 Musa aliwapa ninyi Sheria,+ sivyo? Lakini hakuna hata mmoja kati yenu anayetii Sheria. Kwa nini mnatafuta kuniua?”+