Mathayo 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini Mafarisayo wakaenda na kufanya shauri juu yake ili wapate kumwangamiza.+ Marko 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo Mafarisayo wakatoka na mara moja wakaanza kufanya baraza pamoja na wafuasi wa chama cha Herode+ juu yake, ili wamwangamize.+
6 Ndipo Mafarisayo wakatoka na mara moja wakaanza kufanya baraza pamoja na wafuasi wa chama cha Herode+ juu yake, ili wamwangamize.+