Mathayo 27:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Asubuhi ilipofika, wakuu wote wa makuhani na wanaume wazee wa watu wakashauriana juu ya Yesu ili auawe.+ Marko 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo Mafarisayo wakatoka na mara moja wakaanza kufanya baraza pamoja na wafuasi wa chama cha Herode+ juu yake, ili wamwangamize.+ Luka 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini wakaingiwa na wazimu, nao wakaanza kuzungumza wao kwa wao jambo ambalo wangeweza kumtendea Yesu.+ Yohana 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa kweli, kwa sababu hiyo Wayahudi wakaanza kutafuta hata zaidi kumuua,+ kwa sababu si kwamba tu alikuwa akiivunja Sabato bali pia alikuwa akimwita Mungu Baba+ yake mwenyewe, akijifanya mwenyewe kuwa sawa+ na Mungu.
27 Asubuhi ilipofika, wakuu wote wa makuhani na wanaume wazee wa watu wakashauriana juu ya Yesu ili auawe.+
6 Ndipo Mafarisayo wakatoka na mara moja wakaanza kufanya baraza pamoja na wafuasi wa chama cha Herode+ juu yake, ili wamwangamize.+
11 Lakini wakaingiwa na wazimu, nao wakaanza kuzungumza wao kwa wao jambo ambalo wangeweza kumtendea Yesu.+
18 Kwa kweli, kwa sababu hiyo Wayahudi wakaanza kutafuta hata zaidi kumuua,+ kwa sababu si kwamba tu alikuwa akiivunja Sabato bali pia alikuwa akimwita Mungu Baba+ yake mwenyewe, akijifanya mwenyewe kuwa sawa+ na Mungu.