Yohana 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi baada ya mambo hayo Yesu akaendelea kutembea katika Galilaya, kwa maana hakutaka kutembea katika Yudea, kwa sababu Wayahudi walikuwa wakitafuta kumuua.+ Yohana 7:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Musa aliwapa ninyi Sheria,+ sivyo? Lakini hakuna hata mmoja kati yenu anayetii Sheria. Kwa nini mnatafuta kuniua?”+
7 Basi baada ya mambo hayo Yesu akaendelea kutembea katika Galilaya, kwa maana hakutaka kutembea katika Yudea, kwa sababu Wayahudi walikuwa wakitafuta kumuua.+
19 Musa aliwapa ninyi Sheria,+ sivyo? Lakini hakuna hata mmoja kati yenu anayetii Sheria. Kwa nini mnatafuta kuniua?”+